Natafuta kazi

Natafuta kazi

msikuu

Member
Joined
Aug 2, 2017
Posts
7
Reaction score
6
Mimi ni binti, umri miaka 24,kwa upande wa elimu nimemaliza diploma mwaka huu mwezi wa 6 chuo cha utumishi wa umma nimesomea fani ya utunzaji kumbukumbu na nyaraka

Kwasasa ninavyeti viwili cha level 4 na 5 level 6bado havijatoka ninatafuta kazi yoyote kwa sasa nikisubiri cheti changu nipo dar es salaam, na nipo tayari kufanya kazi dar es salaam.
Kwa mawasiliano zaidi naomba uje (inbox)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi nyumban ukaanzishe hata shamba ka pilipili zna dili sana saivi.
Usibweteke na kukaa mjini hata Elimu yako nzuri ya kutunza kumbukumbu hiyo itakusaidia kujua km lini limwagilia ama kutia dawa kwenye bustan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni binti, umri miaka 24,kwa upande wa elimu nmemaliza diploma mwaka huu mwezi wa 6 chuo cha utumishi wa umma.nmesomea fani ya UTUNZAJI KUMBUKUMBU NA NYARAKA. Kwasasa ninavyeti viwili cha level 4na 5..level 6bado havijatoka.
Ninatafuta kazi yoyote kwa sasa nikisubiri cheti changu.
Nipo dar es salaam, na nipo tayari kufanya kaz dar es salaam.
Kwa mawasiliano zaidi naomba uje (inbox)

Sent using Jamii Forums mobile app
beki tatu vp utaweza?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi nyumban ukaanzishe hata shamba ka pilipili zna dili sana saivi.
Usibweteke na kukaa mjini hata Elimu yako nzuri ya kutunza kumbukumbu hiyo itakusaidia kujua km lini limwagilia ama kutia dawa kwenye bustan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua smtym kama huna lakusema it's better ukaa kimya.. Hujalazmishwa..cz naona u talk nonsense and stupidity things ase.. Eti rud nyumban uliambiwa niko ugenin au?? Be like an educated and learned person sio kuropoka ropoka tuu.. Mxieeeew.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua smtym kama huna lakusema it's better ukaa kimya.. Hujalazmishwa..cz naona u talk nonsense and stupidity things ase.. Eti rud nyumban uliambiwa niko ugenin au?? Be like an educated and learned person sio kuropoka ropoka tuu.. Mxieeeew.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema educated eeeh

Alafu educated ukaenda utumishi kusoma record keeping au sio?

Najua form 4 ulitoka na div 1 kali iliyokupeleka chuo cha utumishi wa umma.

Kila la heri mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom