Natafuta kazi

Natafuta kazi

Tysher

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
207
Reaction score
76
Habari wana jf mimi ni muhitimu wa shahada ya uzamili katika usimamizi wa miradi(Project Management), vilevile nina shahada ya sanaa katika elimu.

Natafuta nafasi ya kazi, hasa ya kujitolea katika NGOs zinazojishughulisha na miradi ya elimu ili kupata uzoefu katika hii kada msaada wenu wanaJf.

Ahsante!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jf!
Mimi ni mhitimu wa shahada ya uzamili katika usimamizi wa miradi(Project Management),vilevile nina shahada ya sanaa katika elimu.
Natafuta nafasi ya kazi, hasa ya kujitolea katika NGOs zinazojishughulisha na miradi ya elimu ili kupata uzoefu katika hii kada.
Msaada wenu wanaJf.
Ahsante!


Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh humu ndani wazinguaji tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajf
Mimi naitwa Doris Gabriel nimesomea front office ni pamoja na receptionist, customer care,telephone operating system nikafanya field Dodoma hotel, Serena hotel, Na strategies insurance jamani naombeni mnisaidie kupata Ajira ata kama kukitokea Kazi inayoendana Na niliyosema naombeni nafasi nisaidie wana jf nisaidieni Wa Tanzania wenzangu

Sent using Jamii Forums mobile app
andika threter yako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom