Natafuta kazi

jerryempire

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
5,866
Reaction score
10,163
habarini wana jamii forum,mimi ni kijana wa umri wa miaka 24,elimu yangu ni diploma ya hr,nlikuwa natafut kazi/ajira hata kama haifanani na fani niliyosomea unaweza kuntfuta kkupitia,0659756647,ahsanteni
 
samahan mkuu umeiacha kidogo.. diploma ya hr ndo ipi... kuuliza sio ujinga!
 
habarini wana jamii forum,mimi ni kijana wa umri wa miaka 24,elimu yangu ni diploma ya hr,nlikuwa natafut kazi/ajira hata kama haifanani na fani niliyosomea unaweza kuntfuta kkupitia,0659756647,ahsanteni

Unataka kufanya hata kazi ambayo hujaisomea? Are you that genius?
 
samahan mkuu umeiacha kidogo.. diploma ya hr ndo ipi... kuuliza sio ujinga!
hr means human resourse manager but course HUMAN RESOURSE MANAGEMENT wazee wa uhakiki wa majina vyeti feki na waajiri kwa kifupi ndo navyo jua ama afisa rasilimali watu.
 
Kazi ni kazi tu sio mpaka uisomee! Cha msingi ni uzoefu.
 
Tafuta wanaume wa kazi muunde timu mkapige kontena moja la makinikia muuage umasikini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…