mhhh nina mashaka...unataka au unaomba....afu mbona sisi atujasitisha kazi au unawesemea nani Uncle MaguDaktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,
Pm!
Pm!Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,
Pm!
MissM4C aseee ilo jina tuu sidhani maana dhana ya uvyama na ukanda naona inashika kasiDaktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,
Pm!
Kazi gani ndg?Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,
Pm!
Miss Chadema,mbona mkali hivyo.Come down.Daktari hujui kazi yake?
kama kazi ya doctor wa mapenzi sawa upo tayari??????????Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,
Pm!
Daah 2014 mwezi march ulisema unatafuta kazi na unasubir internship mwez wa 9, hiyo ilikuwa 2014.Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,
Pm!
dah we jamaa nomahDaah 2014 mwezi march ulisema unatafuta kazi na unasubir internship mwez wa 9, hiyo ilikuwa 2014.
Mwaka jana tu hapa mwezi Desemba ulikuwa unaomba jins ya kupata kazi nje ya nchi na ulizitaja Botswana, Namibia n.k.
Leo unakuja na ngojera ya una uzoefu wa miaka miwili South Sudan .
Ila sio mbaya M/kiti wetu anatafuta msaidizi pale ofsini kwake.
Tena mbichi anaonekaaUtapata kw hilo figure ulilonalo wala usiwaze!...wanakuja
avatar ni wewe au...Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,
Pm!