Natafuta kazi

Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,

Pm!
mhhh nina mashaka...unataka au unaomba....afu mbona sisi atujasitisha kazi au unawesemea nani Uncle Magu
 
Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,

Pm!
MissM4C aseee ilo jina tuu sidhani maana dhana ya uvyama na ukanda naona inashika kasi
 
Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,

Pm!
Daah 2014 mwezi march ulisema unatafuta kazi na unasubir internship mwez wa 9, hiyo ilikuwa 2014.
Mwaka jana tu hapa mwezi Desemba ulikuwa unaomba jins ya kupata kazi nje ya nchi na ulizitaja Botswana, Namibia n.k.
Leo unakuja na ngojera ya una uzoefu wa miaka miwili South Sudan .
Ila sio mbaya M/kiti wetu anatafuta msaidizi pale ofsini kwake.
 
Daah 2014 mwezi march ulisema unatafuta kazi na unasubir internship mwez wa 9, hiyo ilikuwa 2014.
Mwaka jana tu hapa mwezi Desemba ulikuwa unaomba jins ya kupata kazi nje ya nchi na ulizitaja Botswana, Namibia n.k.
Leo unakuja na ngojera ya una uzoefu wa miaka miwili South Sudan .
Ila sio mbaya M/kiti wetu anatafuta msaidizi pale ofsini kwake.
dah we jamaa nomah
 
Daktari (MD) nimefanya kazi South Sudan 2years sasa nimerudi nchini. Ajira mlisitisha? naomba kazi kokote hapa TZ,

Pm!
avatar ni wewe au...
kama ni wewe daaah Eeh mungu umejua kuumba vitu na watu watupendezao macho na mioyo, kwa hayo naomba uni PM basi kama utakua na muda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom