Ni pm kama anaweza kuja kilombero sugar kuna nafasi za kazi ila awe mvumilivu tuHabari jf, nina ndugu yangu anatafuta kazi za viwandani au zinazoendana na carrier yake. Ni msichana, umri 25, anaishi dar. Ana cheti cha hotel management! Pliz mwenye connection yoyote naomba msaada! Ni pm! Asanteni
Ni pm kama anaweza kuja kilombero sugar kuna nafasi za kazi ila awe mvumilivu tu
kula kSawa, lkn angependa kujua details zaidi ya kazi na payments pia ili ajue ajipangajeNi pm kama anaweza kuja kilombero sugar kuna nafasi za kazi ila awe mvumilivu tu
kama kuna dili mkuu tufahamishane me nko moro town nazuga tu sina hata kibaruaNi pm kama anaweza kuja kilombero sugar kuna nafasi za kazi ila awe mvumilivu tu
kumbe kazi hauna majukwaani mnasumbua sumbua tukama kuna dili mkuu tufahamishane me nko moro town nazuga tu sina hata kibarua
ULITAKAJE?kumbe kazi hauna majukwaani mnasumbua sumbua tu