Toa specification zako
kabla watu hawajakuzukia pm ujue utakuwa unaachiwa nyumba ya watu wakati
wenyewe wako kazini, elezea unaoshi wapi, utakuwa wa kwenda na kurudi
au kulala, mshahara ulipwe sh ngapi, referree wako ni nani, ushawahi
kufanya kazi za ndani au ndo inajaribu,umri wako, umeolewa au umeachika,
una watoto, unawatu wanaokutegemea mwaga cv yako mama utapata pm nyingi
tuu. All the best.