AY 5225
JF-Expert Member
- Jul 16, 2023
- 484
- 1,134
- Thread starter
- #41
Aiseeee umenikumbusha mbali sana. Mwaka 2017 nilikuwa nimepigika kinoma. Tukashauriana na mshikaji wangu twende tukatafute vibarua viwandani. Katika pitapita tukatokea kiwanda cha ngano cha mzizima (bakhressa) pale maeneo ya ngozi. Mzee mmoja mlinzi akatuuliza, "vijana mnafikiri kwanini hapa kila siku kazi zipo?" Akatuambia kuwa kazi za mle ndani ni ngumu balaa na kama ni mgeni ikifika saa 5 kuna uwezekano Mkubwa ukaiba nguo zako mwenyewe na kusepa.
Aisee! noma sana mkuu. Ila mimi niko tayari kukomaa kwakua mwili na nguvu ninazo na pia nna uhitaji nayo sana hivyo hakuna namna as long as malipo yasiwe chini ya 15k per day. Wanalipaje pale?