Natafuta Kazi Yeyote

Natafuta Kazi Yeyote

BUZINEM

Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
16
Reaction score
2
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimehitimu kidato cha sita 2012, nilipata bahati ya kujiunga na chuo kikuu cha Dodoma 2012-2013 kwa bahati mbaya nikakosa mkopo.

Nilijaribu kufuatilia Loan Board ila sikufanikiwa hali yangu ya kimaisha kifedha ilikua sio nzuri chuoni hapo, msosi wangu ni wakulenga nikaamua kusitisha mwaka na kujaribu kuingia jeshini nilipofika kwenye usaili sijapata bahati ya kupita.

Na sasa nipo mtaani nikijaribu kutafuta kazi ambayo itaweza kunipatia pesa za kuniwezesha kurudi chuo na kuendelea na masomo yangu lakini mpaka sasa sijaweza kupata kazi.

Naomben mnisaidie ndugu zangu nipo tayari kufanya kazi yeyote na mahali popote.
 
Aisee ndg yangu tuko wengi wenye matatizo ila jipe moyo nasi siku yetu ipo
 
Mku ulipata pointi ngapi six.na ulisomea masomo gani?nijibu.afu nitakusaidia chakufanya.
 
buzinem pole sana ndugu..usikate tamaa mlango mmoja ukifungwa jua mwingne umefunguliwa..mim nko Dar kama waweza ni pm tufanye ujasiriamali kama uko sereous ndani ya miezi minne utakua mtu mwingne kwenye suala la kipato
 
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimehitimu kidato cha sita 2012, nilipata bahati ya kujiunga na chuo kikuu cha Dodoma 2012-2013 kwa bahati mbaya nikakosa mkopo.

Nilijaribu kufuatilia Loan Board ila sikufanikiwa hali yangu ya kimaisha kifedha ilikua sio nzuri chuoni hapo, msosi wangu ni wakulenga nikaamua kusitisha mwaka na kujaribu kuingia jeshini nilipofika kwenye usaili sijapata bahati ya kupita.

Na sasa nipo mtaani nikijaribu kutafuta kazi ambayo itaweza kunipatia pesa za kuniwezesha kurudi chuo na kuendelea na masomo yangu lakini mpaka sasa sijaweza kupata kazi.

Naomben mnisaidie ndugu zangu nipo tayari kufanya kazi yeyote na mahali popote.

Nipigie 0784876210
 
Back
Top Bottom