Mim ni mwalimu mhitimu wa shahada kutoka chuo kikuu cha Dar es salaamu , katika masomo ya English language and history.na uzoefu wa miaka miwili kufundisha Literature in English,English language and history, kidato cha kwanza had cha sita.Mshahara kuanzia laki 7 na makazi,npo tayari sehemu yoyote hapa Tanzania,huduma stahiki kama maji na umeme ni muhumu,kwa mwenye uhitaji ani Pm.