Natafuta kazi ya Uuguzi na Ukunga

Deby Amos

New Member
Aug 10, 2022
1
2
Habari!!

Natafuta kazi ya kufanya kama muuguzi na mkunga nina diploma level kwenye hospital au dispensary sehemu yoyote kati ya kwanza, Shinyanga au Kahama.

Mwenye connection anisaidie tafadhali
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…