Natafuta kazi ya utoaji dawa

Natafuta kazi ya utoaji dawa

falsafa huru

Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
6
Reaction score
1
Habarini ndugu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 niliyehitimu kozi ya utoaji dawa (pharmacrutical dispenser) mwaka 2015 na kufanikiwa kufanya field na ajira katika hospitali binafsi kwa muda wa miaka miwili. Natumia fursa hii kutangaza nia yangu ya kupata ajira kwenye duka la dawa au zahanati hata hospitali kwa kitengo cha utoaji dawa. Naomba kwa yeyote mwenye uhitaji wa kijana wa kazi au anayejua fursa ilipo asisite kunipa taarifa kwa namba 0763460022/0677268665

Natanguliza shukrani kwenu wakuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom