vijana msikate tamaa ni kweli wanachukuliwa JKT,CCP na hata Kiwira unaweza ukachaguliwa kwenda polisi na siku unamaliza depo ukateuliwa kwenda huko
nb.kuwa mvumilivu usiwe mtu wa kusitasita ukiambiwa fanya hivi wewe fanya,usipende kuwategea wenzako jitume muda wote unapokuwa depo
Mbona wapo ambao hawajapitia JKT na CCP au kwavile unaowajua walipotia huko basi umefunga milango mingine!?
msiri gani wewe unayetoa siri kuwa ni msiri?
Aiseeeee!!
Usifanye kazi ya usalama,huo wasifu ni wa paka.kazi za paka zitakufaa
vijana msikate tamaa ni kweli wanachukuliwa JKT,CCP na hata Kiwira unaweza ukachaguliwa kwenda polisi na siku unamaliza depo ukateuliwa kwenda huko
nb.kuwa mvumilivu usiwe mtu wa kusitasita ukiambiwa fanya hivi wewe fanya,usipende kuwategea wenzako jitume muda wote unapokuwa depo
níwa uwezo mkùbwa wa kuhisi na kunusa afu ni msirí sana
waliopo ndani wanatamani kukimbia na kutoka na walio nje wanataka kuingia..it is very complex...!
**Former Nazi SS**
Hahaha uwezo wa kuhisi na kunusa?!!!!
Unaweza upewe kitengo cha laboratory kama kipo
Hahaha! jamaa ameniacha hoi, anadhani uwt wananusa watu wanaojamba.
Níwa uwezo mkùbwa wa kuhisi na kunusa afu ni msirí sana