Natafuta Kazi ya Usalama wa Taifa

Natafuta Kazi ya Usalama wa Taifa

kwa hizo sifa zako unafaa kuwa police dog undercover. unavishwa vazi la ngozi ya mbwa na unatembea kama mbwa utafundishwa kubweka. advantage ni kwamba mtuhumiwa hatajua kama wewe ni mtu so utaturahishia kazi.
 
Sasa hizo c tabia za paka inaelekea ww ulikua mwizi wa mboga nyumbani kwenu.. Umeacha kweli hiyo tabia??

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nitafute nkuunganshe ila c unajua mkono mtupu haulambwi teh teh teh tunaztmia fursa za wajinga vizur!
 
Níwa uwezo mkùbwa wa kuhisi na kunusa afu ni msirí sana

usalama wa taifa wanatakiwa kuwa wanadamu sasa wewe unasifa za wanyama hufai tena umesema msiri hufai utakuwa unashirikiana na watu mambo mengine wenzako huwaambii halafu nahisi serikari haiwezi kuajili mtu kichaa anayetafuta kazi mtandaoni utadhani humu kuna office kama wataka kazi sukalime au ujiajili tu
 
usalama wa taifa sio hivo tu. wana vigezo vingi mkuu. btw nasikia wanachukulia watu depo jkt. kwahiyo anza stage 1, kufight kwenda jkt, ndio tuendelee.
hafu kunusa sidhani kama ni kigezo. maana kunabwa wa cops wako trained n hizo mission. wao wananusa madawa, au kumtafuta mtuhumiwa alieescape.

kuhisi unamaanisha nini? una machale au? unaweza kuhisi kwamba magaidi wanataka teka supermarket flani? au unazungumzia kuhisi kivipi bro.

pia mkuu, usikate tamaa. TISS sio kama vitengo vingine, limit yao ya miaka ni kubwa, kikubwa uwe umepitia jkt.

wengi tunatamani sana mkuu. suti nyeusi, sun glasses, kunja sura kunjua moyo hadi raha. ndio maana ata matapeli wengi wanajiita tiss.
 
Una kiwango gan cha Elimu?na umewahi mara ngap kufanya kaz za kiusalama kwa kutoa taarfa polisi na umeandika makala ngap za kiusalama katika jamii yako na una hzo makala?

Mwene,
Mmbona una maswali mingi?
 
vijana msikate tamaa ni kweli wanachukuliwa JKT,CCP na hata Kiwira unaweza ukachaguliwa kwenda polisi na siku unamaliza depo ukateuliwa kwenda huko

nb.kuwa mvumilivu usiwe mtu wa kusitasita ukiambiwa fanya hivi wewe fanya,usipende kuwategea wenzako jitume muda wote unapokuwa depo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom