Natafuta kazi ya udereva wa magari makubwa na madogo ya Serikalini na sector binafsi. Nimesoma kwenye chuo kilicho sajiliwa na VETA jijini Dar es salaam.
Utunzaji wa gari kwangu mimi ni wa uhakika, na pia nina uwezo wa ufundi daraja la kwanza.
Natafuta kazi ya udereva wa magari makubwa na madogo ya Serikalini na sector binafsi. Nimesoma kwenye chuo kilicho sajiliwa na VETA jijini Dar es salaam.
Utunzaji wa gari kwangu mimi ni wa uhakika, na pia nina uwezo wa ufundi daraja la kwanza.