Habari zenu wadau,mimi ni kijana,nipo dar natafuta kazi ya udereva,nina cheti cha form six,ufaulu ni division III,Nina 2 principal pass,1subsidiary,certificate of attendance ya computer maintanace&repair(Ardhi university),certificate in teaching education for licenced teacher,Driving certificate(city driving school),certificate in in web designing(New horizons,Dar es salaam),pia nina driving licence class.E(A,B,D&E).nina uzoefu wa miaka zaidi ya 3 katika udereva.kwa yeyote anayeweza kunisaidia namba yangu ni 0768 499 181.wapo walionipigia ila walitaka niwatumie kwanza pesa kwa njia ya simu,na hawakua tayari kukutana na mimi face 2face,kitu ambacho mimi siwezi kufanya.mtu humfahamu,hana ofice eti umtumie hela,haikuniingia akilini.Asanten.