rama ngosso
Member
- Oct 11, 2016
- 6
- 0
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 naishi Dar es salam nimejitokeza kwenu kutafuta kazi ya udereva wa magari kwa mwenye nayo naomba anijulishe hata gari la mtu binafsi nitaendesha au kwenye kampuni pia.
Nina leseni halali na elimu yangu kidato cha nne nina uzoefu wa miaka mitatu nikiwa barabarani
Naomba kwa mwenye nafasi ya kazi anijulishe mawasiliano yangu 0653072455 napatikana Dar es salam
Nina leseni halali na elimu yangu kidato cha nne nina uzoefu wa miaka mitatu nikiwa barabarani
Naomba kwa mwenye nafasi ya kazi anijulishe mawasiliano yangu 0653072455 napatikana Dar es salam