Natafuta kazi ya udereva, Nina leseni class E

Natafuta kazi ya udereva, Nina leseni class E

muhcrazy tz

Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
11
Reaction score
0
Mimi kijana wa miaka 23 npo dar es salam
Natafuta kazi ya udereva mwenye uhitaji niko
Nina ujuzi wa ufundi magari wa miaka 3
Madaraja yangu A A2 B D E
Nina elimu ya kidato cha nne nipia nimesomea mafunzo ya veta ufndi magari nikasoma basic driving veta .
 
Back
Top Bottom