Natafuta kazi ya Udaktari

Natafuta kazi ya Udaktari

Wasalaam wana JF.
Nimekuja mbele yenu kujaribu bahati yangu ya kupata ajira tajwa hapo juu, umri wangu miaka 27, jinsi ME, kwa sasa nipo mkoani Mbeya. Nimemaliza internship mwaka jana na nina usajili wa kudumu wa baraza la madaktari Tanganyika. Nipo tayari kufanya kazi mahali popote Tanzania.
Nawasilisha.
sina shaka taaluma yako ina ajira nyingi mno, utafanikiwa tu in very short run!!
 
Wasalaam wana JF.
Nimekuja mbele yenu kujaribu bahati yangu ya kupata ajira tajwa hapo juu, umri wangu miaka 27, jinsi ME, kwa sasa nipo mkoani Mbeya. Nimemaliza internship mwaka jana na nina usajili wa kudumu wa baraza la madaktari Tanganyika. Nipo tayari kufanya kazi mahali popote Tanzania.
Nawasilisha.
Hongera Sana Daktari.
 
Wasalaam wana JF,

Nimekuja mbele yenu kujaribu bahati yangu ya kupata ajira tajwa hapo juu, umri wangu miaka 27, jinsi ME, kwa sasa nipo mkoani Mbeya. Nimemaliza internship mwaka jana na nina usajili wa kudumu wa baraza la madaktari Tanganyika. Nipo tayari kufanya kazi mahali popote Tanzania.

Nawasilisha.
1. Igogwe Mission
2. Matema beach hospital
3. Ifisi hospital
4. Uhai HC
5. Maranatha hospital
6. Lituhi Mission (Nyasa DC)
7. Liuli hospital (Nyasa DC)
8. Ikonda hospital (Makete)
9. Ilembula hosp (Wanging'ombe)
10.

Peleka barua huko kwa private hospitals kote, nimetaja chache tu;-- Huwezi kosa kuitwa.

Bado zipo smaller private HFs, nyingine zipo rural sana, ambako ni sehemu sahihi sana kwenda kujifunza kazi after internship

All the best
 
1. Igogwe Mission
2. Matema beach hospital
3. Ifisi hospital
4. Uhai HC
5. Maranatha hospital
6. Lituhi Mission (Nyasa DC)
7. Liuli hospital (Nyasa DC)
8. Ikonda hospital (Makete)
9. Ilembula hosp (Wanging'ombe)
10.

Peleka barua huko kwa private hospitals kote, nimetaja chache tu;-- Huwezi kosa kuitwa.

Bado zipo smaller private HFs, nyingine zipo rural sana, ambako ni sehemu sahihi sana kwenda kujifunza kazi after internship

All the best
Nashukuru sana kwa ushauri mkuu . Be blessed.
 
Nenda Mawenzi kilimanjaro wanahitaj madaktari Wanns kama volunteer, nusu mshahara anza na hiyo
 
mwanangu tupo pamoja, mm mwenyewe nimemaliza intern November ni MD, ila kazi hamna.
kuvolunteer kwenyewe sahz hospital nyingi hawachukui.
Check na TUME YA KIKRISTO YA HUDUMA ZA JAMII wanaratibu hospital, Vituo vya Afya, na Zahanati za madhehebu ya CCT na TEC mkuu
 
Kama unapenda kufundisha angalia fursa kwenye vyuo vya diploma za medical (utabibu, famasi na nesi) unaweza ukapata vipindi vya kufundisha.
 
Vijana tujiajiri kuna fursa nyingi.
Wakati mwanae na mkwewe wanakula shavuot la serkal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom