Habari zenu wana JF, nina degree ya education kutoka chuo cha kenyeta university nairobi Kenya, natafuta kazi ya ualimu. Namudu kufundisha masomo ya arts
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
With Education ni nzuri sana,unawezapata kazi hata nje ya ualimu,i have a friend of mine we were working together somewhere,she had hiyo education ya with...
Sasa mkuu degree ya ualimu kulikuwa na haja gani kwenda kuisomea Kenya,huoni kwamba umejiongezea complications zisizo za msingi?Au Kuna teknolojia gani au maajabu gani ya maana kwenye kufundisha?Habari zenu wana JF, nina degree ya education kutoka chuo cha kenyeta university nairobi Kenya, natafuta kazi ya ualimu. Namudu kufundisha masomo ya arts
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora upige Kimya kuliko kuongea upuuzi kama huuu,, Mimi kusoma Kenya kimekuuma nini? Complication gan ambazo akili yako inazijua ukisoma nje?et ualimu unaendaje kusoma nje, kwahiyo kuna course zinakutaka usome nje na zingne usome nchini? Jinga moja weweSasa mkuu degree ya ualimu kulikuwa na haja gani kwenda kuisomea Kenya,huoni kwamba umejiongezea complications zisizo za msingi?Au Kuna teknolojia gani au maajabu gani ya maana kwenye kufundisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakula ulimwaga mbogaNi bora upige Kimya kuliko kuongea upuuzi kama huuu,, Mimi kusoma Kenya kimekuuma nini? Complication gan ambazo akili yako inazijua ukisoma nje?et ualimu unaendaje kusoma nje, kwahiyo kuna course zinakutaka usome nje na zingne usome nchini? Jinga moja wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu kapanicNi bora upige Kimya kuliko kuongea upuuzi kama huuu,, Mimi kusoma Kenya kimekuuma nini? Complication gan ambazo akili yako inazijua ukisoma nje?et ualimu unaendaje kusoma nje, kwahiyo kuna course zinakutaka usome nje na zingne usome nchini? Jinga moja wewe
Sent using Jamii Forums mobile app






Mwalimu kapanic
Teflon_Don