Natafuta kazi ya ualimu

Natafuta kazi ya ualimu

Mchiwa Ng'ambaku

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2015
Posts
959
Reaction score
803
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninatafuta kazi ya uwalimu wa kuanzia ngazi ya secondary hadi cheti (kwa course za biashara)

-Elimu yangu ni ya shahada ya elimu ya biashara (bachelor of commerce with education)

-nina uwezo wa kufundisha book keeping/accountancy na commerce (kwa level ya secondary), accounting & management (kwa level ya certificate)

-nina uzoefu wa kufundisha wa miaka mitatu

-Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote nchini

Mwenye connection yoyote karibu PM

NB:
usiniambie nitume pesa yoyote ili uniunganishie kazi kwa sababu sitatuma.

Kama kuna dalali wa kazi yoyote ambaye yuko serious au mtu yoyote anayeuza nafasi ya kazi njoo PM tutete niko teari kumlipa mshahara wote wa Kwanza mwezi mmoja baada ya kupata na kuanza kazi na si vinginevyo.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninatafuta kazi ya uwalimu wa kuanzia ngazi ya secondary hadi cheti (kwa course za biashara)

-Elimu yangu ni ya shahada ya elimu ya biashara (bachelor of commerce with education)

-nina uwezo wa kufundisha book keeping/accountancy na commerce (kwa level ya secondary), accounting & management (kwa level ya certificate)

-nina uzoefu wa kufundisha wa miaka mitatu

-Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote nchini

Mwenye connection yoyote karibu PM

NB:
usiniambie nitume pesa yoyote ili uniunganishie kazi kwa sababu sitatuma.

Kama kuna dalali wa kazi yoyote ambaye yuko serious au mtu yoyote anayeuza nafasi ya kazi njoo PM tutete niko teari kumlipa mshahara wote wa Kwanza mwezi mmoja baada ya kupata na kuanza kazi na si vinginevyo.
Pm tafadhali
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninatafuta kazi ya uwalimu wa kuanzia ngazi ya secondary hadi cheti (kwa course za biashara)

-Elimu yangu ni ya shahada ya elimu ya biashara (bachelor of commerce with education)

-nina uwezo wa kufundisha book keeping/accountancy na commerce (kwa level ya secondary), accounting & management (kwa level ya certificate)

-nina uzoefu wa kufundisha wa miaka mitatu

-Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote nchini

Mwenye connection yoyote karibu PM

NB:
usiniambie nitume pesa yoyote ili uniunganishie kazi kwa sababu sitatuma.

Kama kuna dalali wa kazi yoyote ambaye yuko serious au mtu yoyote anayeuza nafasi ya kazi njoo PM tutete niko teari kumlipa mshahara wote wa Kwanza mwezi mmoja baada ya kupata na kuanza kazi na si vinginevyo.
Mkuu mi nahangaika kufungua tuition centre nakosa pesa za pango na madawati ya kuanzia. Sehemu ni nzuri sana pale makambako. Kama utakuwa serious tufanye kazi maana inahitajika 500000 tu ili tulipe pango pamoja na kutengeneza madawati walao 10 ya kuanzia pamoja na meza na viti vya ofic. Wanafunzi wa PC, QT pamoja na tuition kwa wanaosoma public school ni wengi mno.

Tuwasiliane
 
Mkuu mi nahangaika kufungua tuition centre nakosa pesa za pango na madawati ya kuanzia. Sehemu ni nzuri sana pale makambako. Kama utakuwa serious tufanye kazi maana inahitajika 500000 tu ili tulipe pango pamoja na kutengeneza madawati walao 10 ya kuanzia pamoja na meza na viti vya ofic. Wanafunzi wa PC, QT pamoja na tuition kwa wanaosoma public school ni wengi mno.

Tuwasiliane
Sawa mkuu ntakucheki
 
I need competent secondary teachers in the following subjects;
1.geography
2.history
3.basic mathematics
4.book keeping
5.commerce
6.physics
Venue: green acres mbezi beach Africana.
Date: 13/01/2018
Time: 8:30am
Come with your CV,photocopies n application letter.
Contact: 0717793245
Martins Ntonyo
DHT.
You may forward this message to other groups.
 
Mkuu mi nahangaika kufungua tuition centre nakosa pesa za pango na madawati ya kuanzia. Sehemu ni nzuri sana pale makambako. Kama utakuwa serious tufanye kazi maana inahitajika 500000 tu ili tulipe pango pamoja na kutengeneza madawati walao 10 ya kuanzia pamoja na meza na viti vya ofic. Wanafunzi wa PC, QT pamoja na tuition kwa wanaosoma public school ni wengi mno.

Tuwasiliane
Mkuuu wazoo zuri...tuwasiliane we can do something..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom