natafuta kazi ya ualimu physics and mathematics

natafuta kazi ya ualimu physics and mathematics

Mkuu sikuhizi mambo yamebadilika sana,kazi ni mpaka ujuane na watu hivihivi kupata kazi ni bahati sana
Nakubaliana na wewe,kwa mtu anayetafuta kazi ya ualimu kwa Dar si kuzuri...akajaribu kutembelea wilaya ya mwanga kuna shule nyingi na kutokana na masomo yake atafanikiwa;sema changamoto ni kwenye malipo,ila kwa kuanzia sio mbaya.
 
Nakubaliana na wewe,kwa mtu anayetafuta kazi ya ualimu kwa Dar si kuzuri...akajaribu kutembelea wilaya ya mwanga kuna shule nyingi na kutokana na masomo yake atafanikiwa;sema changamoto ni kwenye malipo,ila kwa kuanzia sio mbaya.
Asante Sana kwa kunisupport kimawazo naomba tuzidi kupeana updates ukizipata kaka
 
Sio kweli
yawezekana upo correct lakini kwangu mm nimepata hizo changamoto ndo maana nasema kaka naona mtu akikushika mkono plus individual capabilities mambo yanakuwa mazuri lakini Asante kwa your contribution
 
Unasumbua watu tu, eti Mimi ni best student, mtaani hakuna cha best student au best pupil mwendo ni kupambana , hizi ni swaga za kishamba kabisa sijapata kuona
kaka kila mtu anauhuru wa kuongea katika hii platform inawezekana wewe ukaona ushamba lakini wengine wakaona vizuri ni the way utakavyochukulia samahani Kama hukupendezwa pia na ujumbe natumai umeupata niliokusudia usisite kunisupport asante
 
Shida ya walimu walio somea Education moja kwa moja, ukiwaajili post za ualimu serikalini zikitoka wanakukimbia bila huruma
 
Shida ya walimu walio somea Education moja kwa moja, ukiwaajili post za ualimu serikalini zikitoka wanakukimbia bila huruma
ni kweli kaka inatokea hio lakini inachangiwa na sababu nyingi hapo pia wapo walimu wanafundisha private nahawana mpango na serikali najua sababu unazielewa kaka a good example kuna walimu wapo feza au shamsiye pale hawahtaji kwenda serikali
 
Jitolee kwanza wanafunzi waone uzoefu wako wawambie walimu wao upate kazi.
Ajira ni rahisi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom