Natafuta kazi ya stationary

Natafuta kazi ya stationary

Mimi nipo tabata kinyez elimu kidato cha 4 nimesomea kozi ya kompyuta..naitaji hiyo kazi kama inawzekana..
Samahn nimendandia uzi wa watu
Ushawahi fanya kazi ya stationery?
malipo unategemea kiasi gani?
Tigo pesa and maxmalipo unaweza tumia?
 
Habari zenu wandugu, mimi ni mdada wa miaka 27, ninahitaji kazi ya steshenary, elimu yangu ni kidato cha nne pia nina ujuzi wa computer, sio lazima iwe steßhenary kazi yoyote yenye masilahi na iliyo halali nafanya
Njoo chanika Sheraton ninahutaji mwal.wa nursery school
 
Unae taka kazi ya stationry nipigie namba hihi nikupe kazi naopi natafuta mdada wakazi awe na umri miaka 18 no0716867308
 
Ushawahi fanya kazi ya stationery?
malipo unategemea kiasi gani?
Tigo pesa and maxmalipo unaweza tumia?
Niwe mkweli sijawai fanya hii kazi ya stationary lakin niko tayr hata kufanya kwa kujitolea kwa wiki moja...kuhusu mshahara ni maelewano baina yangu na wewe...
 
Niwe mkweli sijawai fanya hii kazi ya stationary lakin niko tayr hata kufanya kwa kujitolea kwa wiki moja..tgopesa nnauzoefu nayo.kuhusu mshahara ni maelewano baina yangu na wewe...
 
Kuna stationery moja juzi kuna dada alikuwa anafanya kazi akaenda kwenye ngoma hajarudi mpaka leo,mwenyewe anatafuta mdada wa kazi.Kama mmoja wenu kati ya ninyi mnaotafuta kazi hii hamjapata,mni-PM.Ila kazi Mkuranga.
 
Kuna stationery moja juzi kuna dada alikuwa anafanya kazi akaenda kwenye ngoma hajarudi mpaka leo,mwenyewe anatafuta mdada wa kazi.Kama mmoja wenu kati ya ninyi mnaotafuta kazi hii hamjapata,mni-PM.Ila kazi Mkuranga.
Mkuranga ni njia ya kilwa road au?!!!na je mahala pa kukaa pataptikna yaan kwa gharama za boss au??
 
Ungekuwa unapatika maeneo ya AFRICANA' MBEZI BEACH,ningekupa mchongo
Kuna mtu namfahamu naye yupo hapohapo africana na anaitaji kazi pia....nikupe nawasiliano ili umpatie job..?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom