Why not Serikalini?Wakuu nina degree ya medical laboratory nimespecialize katika parasitology and entomology.Ambaye anafahamu sehemu nitakapo pata kazi siyo serikalini ila pawe na salary ya kuweza kukufanya mtu uishi hapa mjini.
shukrani
Why not Serikalini?
unataka dar tu?
Wakuu nina degree ya medical laboratory nimespecialize katika parasitology and entomology.Ambaye anafahamu sehemu nitakapo pata kazi siyo serikalini ila pawe na salary ya kuweza kukufanya mtu uishi hapa mjini.
shukrani
Ndugu yangu kwa nchini kwetu hapa TANZANIA hakuna chuo chochote kinachotoa degree ya medical laboratory technology kwa kuwa hakuna vifaa vya kufundishia degree vyuo vyote vikubwa vya afya nchini kama MUHAS na BUGANDO wanaishia diploma tu. nawasiwasi na elimu yako na ndomana hutaki kuomba serikalini kwa sababu unajua hauta chaguliwa ukipeleka CV zako,jaribu fani nyingine hii haikufai kabisaa