Is uzoefu wa kutosha qualification na inatolewa na chuo gani? Sema sifa zako za ujuzi wako wa kazi watu wakusaidie,acha kuficha ficha,ndio nyie nyie.Habali wana jf natafuta kazi ya maabara (medical laboratory) nina uzoefu wa kutosha, nipo dar nitanguliza shukulani. my phon, number 0652-011020. mbalikiwe wana jf.
Mie nipo Lab Assistant cheti na licence ninavyo...nitafanya popote...0765 626 871Unataka Dsm peke yake au popote Tanzania?