Natafuta kazi ya Logistics and Transport

Natafuta kazi ya Logistics and Transport

Tzr786

Member
Joined
Jan 17, 2018
Posts
87
Reaction score
65
Habari za muda wadau wa JF,

Kwa majina naitwa xxxx nimefanya nikiwa kama Loading supervisor kwenye kampuni ya usafirishaji kwa miaka miwili na nusu ila kwa sasa sina kazi.

Elimu
- Diploma in Logistics and Transport management
kutoka Chuo cha usafirishaji (N.I.T), Plus
- Certificates in Microcomputer Applications, *Certificates in Graphics design kutoka University
of Dar es sallam Computing centre (U.C.C).

Ujuzi;
  • Kutumia transport software.
  • Clearing and fowarding.
  • Kutumia Microsoft package i.e. word, excel,
Access
  • Mechanical
  • udereva nikiwa na leseni hai (A, B, D, F, na G)
Mwenye connection inayohusiana na kazi hizi naomba anisaidie

Mawasiliano:
0656 000 321
yakutiabeid@gmail.com
 
kaka nikushauri kitu,
Najua unawaza kuwa Transport officer sehemu. ila ni ngumu kupata nafasi.

Fanya hivi.
#Hakikisha una Cheti cha Basic Motor vehicle driving
#Hakikisha una Cheti cha Advance drivers grade II/ I toka Nit au Veta Prefrerable NIT
#Hakikisha una Driving Licence yenye Classes D, E, C1 na C2 Nk.

Kazi zipo njenje serikalini.

Ukishaanza kqenye Udereva, uTO utaukuta hukohuko.

Udereva unalipa mkuu
 
kaka nikushauri kitu,
Najua unawaza kuwa Transport officer sehemu. ila ni ngumu kupata nafasi.

Fanya hivi.
#Hakikisha una Cheti cha Basic Motor vehicle driving
#Hakikisha una Cheti cha Advance drivers grade II/ I toka Nit au Veta Prefrerable NIT
#Hakikisha una Driving Licence yenye Classes D, E, C1 na C2 Nk.

Kazi zipo njenje serikalini.

Ukishaanza kqenye Udereva, uTO utaukuta hukohuko.

Udereva unalipa mkuu
Shukrani sana mkuu
 
Back
Top Bottom