Habari za asubuhi wanaJF?
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu ngazi ya degree ya sheria. Nimewahi kufanya kazi katika ofisi moja ya mawakili na kupata ujuzi wa mambo ya kisheria na baadaye niliendelea na kozi fupi katika chuo cha bandari katika masuala ya uondoaji na usafirishaji wa mizigo bandarini na kwa sasa bado sijajiunga na ofisi yoyote. Hivyo, kwa yeyote mwenye ofisi au kuhitaji huduma yangu, Tafadhali naomba tuwaliane kwenye namba yangu ya simu ya mkononi.
Asanteni.