Natafuta kazi ya kuuza duka

Natafuta kazi ya kuuza duka

Naitwa Michael Israel umri wangu miaka 25, EElimu yangu kidato cha NNE,naishi Dar es salaam-temeke buzz.lengo LANGU kuomba nafasi yoyote ya kazi,kuuza duka,kutunza bustani KAZI za nyumbani.kama kuna mwenye uhitaji wangu atanipata kwa namba 0768581900.natanguliza shukrani zangu kwenu nyote.mchana mwema
 
Aiseeh usawa mgumu huu ...wenye mavumba yao watagawa dozi sana kwa Dada zetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom