Natafuta Kazi ya Kuuza Duka

Natafuta Kazi ya Kuuza Duka

diva48 tz

Member
Joined
Jan 28, 2014
Posts
33
Reaction score
1
mimi ni mwanamke wa miaka 24.natafuta kazi ya kuuza duka la nguo au vipodozi kwa yeyote mwenye kuhitaj,nikifanikiwa nitafanya kazi kwa moyo na uaminifu.nipo dar
 
mimi ni mwanamke wa miaka 24.natafuta kazi ya kuuza duka la nguo au vipodozi kwa yeyote mwenye kuhitaj,nikifanikiwa nitafanya kazi kwa moyo na uaminifu.nipo dar

Vipi ukiwezeshwa kumiliki duka lako mwenyewe au haujiamini kama unaweza?
 
Na cv yako, wewe ni mwenyeji wa wapi, una watoto wangapi, unaishi wapi! weka kwa inbox..na rangi yako ya ngozi, urefu, unene, n.k
 
Na cv yako, wewe ni mwenyeji wa wapi, una watoto wangapi, unaishi wapi! weka kwa inbox..na rangi yako ya ngozi, urefu, unene, n.k
hohohohohoho! Diva ucjaribu ku inbox hawa watu, natafta namna ya kukusaidia waifu ana duka la urembo ngoja nimuulze kama nafas bado zipo.
 
hohohohohoho! Diva ucjaribu ku inbox hawa watu, natafta namna ya kukusaidia waifu ana duka la urembo ngoja nimuulze kama nafas bado zipo.

H hah ah haha ah haha hahah ! vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Sio mahala pake,peleka jukwaa la kazi na tenda utapata msaada
 
mimi ni mwanamke wa miaka 24.natafuta kazi ya kuuza duka la nguo au vipodozi kwa yeyote mwenye kuhitaj,nikifanikiwa nitafanya kazi kwa moyo na uaminifu.nipo dar

Weka cv yako tuione...ikiwezekana na picha yako kabisa...ha ha ha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom