Natafuta Kazi ya kujitolea

kuna kazi ya kulisha mifugo, mshahara elfu themanini kwa mwezi - chakula cha mchana unapata shambani huko huko. Shamba lipo mbali na mjini ni km 35 approx, unashauriwa kuhamia huko huko ili kubana matumizi ya nauli. Chakula / Malazi yanapatikana shambani. Uwe flexible maana kazi zinaweza kuangukia Jpili kwa wiki nyingine.
 
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vipi hiyo kazi nimekupm...unaweza nisaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…