Natafuta kazi ya kujitolea(internship)

Habari zenu ndugu zang
Mimi ni fresh graduate nimesomea uuguzi na ukunga 2017/2020 natafuta kazi yoyote ambayo inaendana na fani niliyosome. Naweza kufanya kazi pharmacy,zahanati na kwenye mashirika binafsi,nna uzoefu na fani yang. Naomba kuwakilisha

contact:0628322917
Ushapata?
 
TAREO-Tanzania Rural Empowernment Organiztion ni assi isiyo ya kiserikali yenye mako yake makuu Moshi,Kilimanjaro.

Oja ya jukumu l asasi hii ni kuwajengea uwezo wkazi wa vijijini hususani,WATOTO,VIJANA,AKINA MAMA NA WAKAZI WA VIJIJINI:

Tunalenga kuwajengea uwezo katika Nyanja za

  • Elimu (Tuna vyuo na shule za awali)
  • Tehama(Tuna kituo cha mafunzo ya TEHAMA-digital skill centre-Himo)
  • Afya (Dispensary ya Kyomu Kahe na kituo cha afya)
  • Ujariamali (Majengo vocational Projects—www.majengo.africa)
  • Ufundi stadi na (Chuo cha ufundi KIDT VTC)
  • Miradi ya kujiingizia kipato na kuji-ajiri (Majengo,Dar na HImo)
Tunafanya kazi na vijana,wahitimu wa vyuo na wanao penda kujitolea katika fani tofauti tofauti:

Kwa yeyote anayenda kujitolea,kujijengea uwezona pia kukutana na fursa za kuji-ajiri anweza kujiunga nasi kwa kujitolea

Tunapokea vijana na mtu yeyote anyependa kutumia taaluma yake,kipawa na ujuzi wake kufanya kazi na sisi:

Karibu ujiunge nasi leo(muda wa kujitolea ni kati ya miezi 3,6 na hata mwaka mmoja)

Wasiliana nasi leo-----mkurugenzi 0717157640 /+255272750531 E-mail info@tareo-tz.org
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom