Natafuta kazi ya kufundisha masomo ya Kiswahili na History

Nimemaliza chuo (UDSM) mwaka huu. Masomo yangu ya kufundishia ni History na Kiswahili. Pia nina uwezo wa kufundisha General studies na English.

Kwa yeyote mwenye shule, tution centre au chochote kinachohusiana na ufundishaji tuwasiliane kwa: 0653 25 05 66.

Napatikana Dar es Salaam.

nami pia English na Kiswahili, kwa ngazi ya primary, secondary , na chuo.
 
Nimemaliza chuo (UDSM) mwaka huu. Masomo yangu ya kufundishia ni History na Kiswahili. Pia nina uwezo wa kufundisha General studies na English.

Kwa yeyote mwenye shule, tution centre au chochote kinachohusiana na ufundishaji tuwasiliane kwa: 0653 25 05 66.

Napatikana Dar es Salaam.
Kama una laki 3 ya haraka njoo tuzungumze.
 
GS isituweke kwenye mjadala kwa sababu mwalimu yeyote anaweza akafundisha kukiwa na uhitaji. Kuhusu English, nimesoma HKL advance. Pia, nimeifundisha vilivyo katika vituo kadhaa vya tuition. Hivyo sina shaka na umahiri wangu katika kulifundisha somo hili!
walimu kama nyie ni janga!
GS inawalimu wake special, kigezo cha HKL hakikufanyi uwezo kuwa mahiri wa English kijana
pambana na masomo yako!
 
Kama una laki 3 ya haraka njoo tuzungumze.
20604573_1038712122925441_6555107077784477964_n.jpg
 
Walimu gani hao special wa GS??? Dadavua ueleweke mkuu .
Wewe naye ni janga kubwa tu katika elimu! Hivi kwa akili zako unadhani GS haina walimu special kwa somo hilo? Watu waliosoma Political science kama somo la kufundishia unafikiri ni mahususi kwa somo gani?
 
Nimemaliza chuo (UDSM) mwaka huu. Masomo yangu ya kufundishia ni History na Kiswahili. Pia nina uwezo wa kufundisha General studies na English.

Kwa yeyote mwenye shule, tution centre au chochote kinachohusiana na ufundishaji tuwasiliane kwa: 0653 25 05 66.

Napatikana Dar es Salaam.
Maswali ya usaili wa awali .swali LA 6 katika kiswahili ni lalazima

History
1.trace the origin causes effects of war of roses in Britain

2.Luis XVI and Marie Antoinette was the root couser of French revolution ?agree or disagree such statement

3.outlines the impacts of German unification in Africa

4.how Africa should disengage from neo- colonialism

5.why Cuba missile crisis rise up during cold war

6.why Nikita Gorbashev was unpopular to many Russians

Kiswahili
1.chuo kikuu cha Dar es salaam kimetoa mchango Mkubwa katika kuikuza lugha ya kiswahili kupitia taasisi zake zitaje taasisi hizo na majukumu yake

2.kamati ya lugha ya afrika mashariki iliazimia nini kuanzia 1.1.1930

3.tofautisha kati ya yambwa na yambiwa

4.tumia kigezo cha kisemantiki kuweka maneno yafuatayo katika ngeli zake
..kipofu
..kichwa
..kuni
..nyundo

5.fafanunua maana ya hizi methali
..mpemba hashoni lenye tomo finyu
..mgaa mgaa na upwa hali wali mkavu

6.eleza maana ya wasifu kazi kisha andika mfano wa wasifu kazi

NB.kujibu maswali yote kutakuweka kwenye nafasi ya ushindi swali LA 6 katika kiswahili ni lalazima
 
Mkuu nakushauri utafute pesa, hali ya awamu hii ajira ningumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom