ronnymsaki
Member
- Feb 23, 2017
- 50
- 30
Ni kweli kabisaaaaa hii ilisha nikuta na tena alitaka hela wenzangu wakatoa hata sikua nayo na hakuzifikisha hata moja
mankaaa
Ni kweli kabisaaaaa hii ilisha nikuta na tena alitaka hela wenzangu wakatoa hata sikua nayo na hakuzifikisha hata moja
Naitwa Doris Gabriel naishi Dar natafuta Kazi na uzoefu wa front office nikadili na customer Care,telephone operating system, receptionist pia nikafanya field Serena hotel, Dodoma hotel na nikafanya training strategies insurance pia kama itapatikana kazi yoyote halali inayoendana na niliosomea naomba watanzania mnisaidie nipate ajira
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tatizo mpaka kumuona duh ila kama unaweza kunisaidia kuni connect nae nitashukuru
Pm meNaitwa Doris Gabriel naishi Dar natafuta Kazi na uzoefu wa front office nikadili na customer Care,telephone operating system, receptionist pia nikafanya field Serena hotel, Dodoma hotel na nikafanya training strategies insurance pia kama itapatikana kazi yoyote halali inayoendana na niliosomea naomba watanzania mnisaidie nipate ajira
Sent using Jamii Forums mobile app
Wache wafu wafe wawazike wafu wao..!Wadada wa humu MNA dharau sana MTU unafuatwa inbox unaambiwa unitafute ili tuone namna ya kusaidiana ila hata meseji hamjibu...
Hiyo tabia ya kudharau kwa kuangalia profile za watu si nzuri na usidhani kazi ni mpaka uajiliwe ili uwe mtumwa... Kuna vitu unaweza pewa issue mambo yakaenda .
Tupunguze kufanya maamuzi kwa kuangalia profiles za watu .
Sent From My Nokia Ya Tochi
Sijaona alienifwata nikamzalau nisimjibu pia sina hulka yakumzarau nisiemjuaWadada wa humu MNA dharau sana MTU unafuatwa inbox unaambiwa unitafute ili tuone namna ya kusaidiana ila hata meseji hamjibu...
Hiyo tabia ya kudharau kwa kuangalia profile za watu si nzuri na usidhani kazi ni mpaka uajiliwe ili uwe mtumwa... Kuna vitu unaweza pewa issue mambo yakaenda .
Tupunguze kufanya maamuzi kwa kuangalia profiles za watu .
Sent From My Nokia Ya Tochi
Yaani inakatisha tamaaNi kweli kabisaaaaa hii ilisha nikuta na tena alitaka hela wenzangu wakatoa hata sikua nayo na hakuzifikisha hata moja![]()
![]()
![]()
mankaaa
Asante my nimejalibu ila kwenye kuapply mara wanasema register nikijaribu inanigomea