Natafuta kazi temporary

Natafuta kazi temporary

jiwekuu770

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
2,246
Reaction score
1,646
Nimesoma kidato cha NNE had cha sita !!Na CV yangu yaan Academic CV iko vizur sana tu !!
Lakini nilikua nataka kupata kazi ya temporary walau ya mwezi mmoja october- November ambao sina kitu cha kufanya kuniingizia kipato!!.
Ni matumaini yangu humu kuna watu mbalimbali wenye link au wamiliki wa ajira!!
Shukran
 
Sasa mbona hujaweka number unataka kazi ya kuchat jf au!!
 
Nimependa uandishi wako, kwamba umesoma kidato cha nne hadi cha sita na academic CV iko vizuri. Yani nimefurahi sana japo nimehitimu darasa la 7C, nadhani ulitaka kusema kwamba ulifaulu vizuri ktk mitihani yako ya kidato cha nne na sita. Wenye kazi zao watakusaidia, kuwa mvumilivu.
 
kk hakuna mtu wa kukuajiri humu ajira unayoitaka ipo shule ndugu yangu nenda mashuleni ukaongee na wakuu washule utakacho pata humu ni lugha za kejeli tu ndugu yangu
 
Nimependa uandishi wako, kwamba umesoma kidato cha nne hadi cha sita na academic CV iko vizuri. Yani nimefurahi sana ila japo nimehitimu darasa la 7C, nadhani ulitaka kusema kwamba ulifaulu vizuri ktk mitihani yako ya kidato cha nne na sita. Wenye kazi zao watakusaidia, kuwa mvumilivu.
Niunganishie job bas
 
kk hakuna mtu wa kukuajiri humu ajira unayoitaka ipo shule ndugu yangu nenda mashuleni ukaongee na wakuu washule utakacho pata humu ni lugha za kejeli tu ndugu yangu
Asante kwa ushauri lakin niltaka nipate pesa niendelee mbele aisee
 
Niunganishie job bas
Mkubwa, kiukweli sina mtandao wa watu wenye kazi zao ukizingatia hata elimu yangu siyo kubwa kwa kiwango cha kuitwa msomi. Nikipata michongo inayoendana na elimu yako nitakufahamisha. Asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom