Natafuta kazi receptionist-Arusha

kiruu

Senior Member
Aug 30, 2013
167
20
Nipo arusha natafuta kazi receptionist najua sana computer kwakuwa nimesomea..experience 2 year kampuni na mahotel ahsante
 
Nipo arusha natafuta kazi receptionist najua sana computer kwakuwa nimesomea..experience 2 year kampuni na mahotel ahsante

kazi umepata, shimboni shavo, bonsavo, kamsape, shimboni......
 
Nipo arusha natafuta kazi receptionist najua sana computer kwakuwa nimesomea..experience 2 year kampuni na mahotel ahsante

kazi hamna dada utaishia kuombwa no, pm nyingi na appointment kibao mwishowe UTALIWA KITUMBUA cku hzi hakuna kazi kirahsirahsi hvyo ila wapo watu WANAOTAFUTA KAZI KWENU
 
kivip? sijaomba kwa wachagga wenzangu nimeomba kwa wote..
 
Ahsante kwa ushauri sana bro,naomba kazi basi kama haupo kwenye kundi hilo na hao wala k...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom