Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,825
- 3,021
Habari Waungwana.
Naitwa Diwani D.A. nina umri wa miaka 27, kitaaluma ni Mwalimu, nina uzoefu wa kufundisha tangu mwaka 2019. Nina uhitaji wa kazi ya kufundisha kwa muda (Kutwa), Shughuli hii inaweza kuwa Shuleni, nyumbani, Ofisini ama kwenye taasisi yoyote ambapo Mwanafunzi "Learner" atapata muda wa kujifunza kwa takribani dakika 60 kwa kipindi.
SIFA (TAALUMA & UJUZI)
- Elimu yangu ni Shahada ya Kwanza ya Elimu katika Saikolojia. (B.Ed Psychology)-2019
- Elimu ya Matumizi ya Awali ya Kompyuta ngazi ya Cheti; kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) - 2014
UJUZI - (Nafundisha pia)
-English course and Programming; Kwenye Mashule na taasisi, ama Watu binafsi wanaotaka kujenga ari ya kujifunza Kingereza kwa "Level" zote yaani; Basic, Intermediate and Advanced.
- Matangazo ya Mitandaoni (Social Media Marketing) - Self taught and experienced.
- Kutengeneza Maudhui ya mtandaoni (Content creating for Social Media - Branding niche) nina uzoefu na Nafundisha pia. Nimefanya kazi na GEW Tanzania.
- Communication Skills for Customers care officers. (Elimu ya Mawasiliano kwa maafisa huduma kwa Wateja)
- Freight (Clearing)
- Ni Mwalimu wa History, Literature in English.
Napendekeza Part time kwa sababu ya shughuli nyingine nifanyazo; ingawa hazitanifunga endapo nitapata Full time.
Mawasiliano: 0743123946
Natanguliza Shukrani.
Naitwa Diwani D.A. nina umri wa miaka 27, kitaaluma ni Mwalimu, nina uzoefu wa kufundisha tangu mwaka 2019. Nina uhitaji wa kazi ya kufundisha kwa muda (Kutwa), Shughuli hii inaweza kuwa Shuleni, nyumbani, Ofisini ama kwenye taasisi yoyote ambapo Mwanafunzi "Learner" atapata muda wa kujifunza kwa takribani dakika 60 kwa kipindi.
SIFA (TAALUMA & UJUZI)
- Elimu yangu ni Shahada ya Kwanza ya Elimu katika Saikolojia. (B.Ed Psychology)-2019
- Elimu ya Matumizi ya Awali ya Kompyuta ngazi ya Cheti; kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) - 2014
UJUZI - (Nafundisha pia)
-English course and Programming; Kwenye Mashule na taasisi, ama Watu binafsi wanaotaka kujenga ari ya kujifunza Kingereza kwa "Level" zote yaani; Basic, Intermediate and Advanced.
- Matangazo ya Mitandaoni (Social Media Marketing) - Self taught and experienced.
- Kutengeneza Maudhui ya mtandaoni (Content creating for Social Media - Branding niche) nina uzoefu na Nafundisha pia. Nimefanya kazi na GEW Tanzania.
- Communication Skills for Customers care officers. (Elimu ya Mawasiliano kwa maafisa huduma kwa Wateja)
- Freight (Clearing)
- Ni Mwalimu wa History, Literature in English.
Napendekeza Part time kwa sababu ya shughuli nyingine nifanyazo; ingawa hazitanifunga endapo nitapata Full time.
Mawasiliano: 0743123946
Natanguliza Shukrani.

