Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
ahahaahahaa...dogo acha za kizamani..tulia hapa tujenge inji yetu...na pia nani kakuambia unauwezo wa kufanya kazi nje ya nchi wakati za hapa ndani hujazifanya zikaisha??....pili...kwanini umeshindwa ku-google hizo links za kazi kwa inchi uzitakazo then ukaomba kazi?...inaonyesha usivyokuwa na utayari wa kufanya kazi za kimataifa....lete hiyo akili yako na rasilimali nguvu itumike hapa tanzania ili uwe mmoja wa watu walioshiriki kwa karibu zaidi kuleta maendeleo ya inchi...TATIZO HALIKIMBIWI LINAKABILIWA NA KUTATULIWA...tulia home tatua matatizo ili watu wa huko nje nao watamani kuja kufanya kazi hapa kwetu....NATUMAI UMENIELEWA....soma vitabu vya ENZI ZA MWALIMU kuimarisha chembechembe zako za utaifa na utanzania zaidi.
Du!
Mkuu twambie taaluma yako,lakini nikupe angalizo mcheza kwao hutunzwa.au hata kubeba box uko tayari?
Jamani naombeni msaada mimi ni Mtanzania mwenzenu ...
Mheshimiwa ningekushauri kwanza fika kwenye nchi unayotaka kazi as in kuwa UAE then look for jobs. Na hii recession your application is likely goin to get scrapped! Makampuni ulaya na uarabuni saizi wana receive cv by the thousands, unless u bringing them business dont keep ur hopes high coz kuna watu wanaongea lugha nyingi zaidi yako na wana experience za sector mbalimbali na bado hawana kazi. THE MARKET IS TOUGH RIGHT NOW naomba nisionekane nasound negative but haya yamenikuta personally mara nyingi katika interviews with HR People huku ulaya.
Keep in mind since you are a foreigner na hii recession makampuni mengi hayako tayari kuspend more money for immigration issue for u and mayb ur family if u have one, small training sessions for you which are all required of them by thelaw of the land. They want Experts (Skills that they can't find localy)
Advice: Since you have no international work experience. Apply for placements and trainee ships first abroad untill this recession cools off, It will definately boost your chances. Kwa huku ulaya ndo technique inayo work out, train from within the company then apply for the post u want. Worked for me.
Mkuu,
Usimkatishe tamaa Mtanzania mwenzetu. Yeye kasema anataka kufanya kazi nje ya nchi, whether kwenye kampuni au NGO.
Wazo la kumwambia afike kwanza kwenye nchi anayotaka kufanya kazi, halijakaa sawa. Atafikaje huko? ni ngumu kuzukia tu nchi yoyote wakati huna uhakika utakula vipi, utakaa wapi na mambo kama hayo
Ni kweli kwamba all employers (makampuni, NGOs etc) wanatafuta experts kufanya kazi kwenye nchi husika (skills ambazo nchini humo zimepungua au hazipo) na ndo maana webs kama www.reliefweb.com kuna kazi za kila aina kwa kila nchi.
Kama amefanya nchini humu kwa muda mrefu, na elimu yake inatosha (minimum degree level) hiyo inaweza kuwa ni qualification tosha kumpatia kazi nje ya TZ. Umezungumzia Ulaya lakini kuna nchi kama Sudan, DR Congo, Chad etc ambapo kazi zipo nyingi na zinatangazwa kila siku. Mimi nipo nje ya bongo, nafanya huku kama expert, na sikuwa na international experience kabla sijapata hii.
Ni kweli competition ipo juu sana tena sana kwa sasa lakini watanzania tusife moyo na kuogopa. Wakenya na Waganda ndo maana wapo kwa wingi sana kwa hizi kazi za kimataifa kwa kuwa si waoga na wanaamini uwezo wao
If u look carefully kaulizia kazi UAE au nimekosea? Na sipo hapa kumdiscourage mtu ndo maana nikamwonyesha hiyo route ya placements..Naomba usome nimeandika nini kabla huja criticise. je unajua hali ya kazi UAE saizi? Naongea from hali ya uchumi na ajira kwa sasa not the past. Hiyo ya wakenya waganda kupata kazi has nothing to do with this. Umetoa mfano wako je umetafuta kazi wakati huu wa recession?? Lets give honest opinions. Its hard to help a person who has not even stated what kind of job they are looking for or even what profession they are in!!