Natafuta Kazi nipo Mbeya

Natafuta Kazi nipo Mbeya

Sina kazi ila hujaelezea sifa zako zaidi ya Utanzania
Maana hata cheti hujasema cha nini, hujasema km una ujuzi wowote au uzoefu.

Boresha tangazo na kazi gani hasa unaziweza
 
Asante kwa kunisaidia ndugu...mimi nina cheti cha ufundi wa umeme wa majumbani
 
Kwa tangazo hili ukifanikiwa tu kupata kazi njoo nikuongeze elf 10
Sawa hamna shida kikubwa kama umeelewa inatosha sio lazima tufanane rafiki...Ungenifundisha namna nzuri ya uandishi kuliko kunidhihaki ingenisaidia kuliko haya uliyoandika...Ila nashukuru kwa kujali
 
We kweli fundi hata kujieleza ishu
Samahani kwa kukusumbua ndg yangu...Kichwa kikijaa mambo mengi hayo hutokea ila naamini umeelewa hitaji langu kama huwezi kunisaidia usinishutumu kwa kuwa sijafanya kama ulivyotaka.Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom