Natafuta kazi, nina Shahada ya Water Resources

Natafuta kazi, nina Shahada ya Water Resources

Mkweche II

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2018
Posts
4,408
Reaction score
6,236
Natumai nyote ni wazima wa afya.pole kwa wasio vyema kiafya. Nina muda nimejiunga hapa JF, ila sijawahi ku post chochote.

Nime hitimu chuo kikuu mwaka 2019, lakini hadi sasa nipo nasota tu mtaani, nina degree ya water resources Engineering, naomba kama mtu yoyote anaweza nisaidia kupata sehemu ya kujishikiza.natanguliza shukrani.

NB: Nipo tayari kwa details zaidi kwa aliepo tayari, pia siwezi andika zaidi sababu ya stress
 
Natumai nyote ni wazima wa afya.pole kwa wasio vyema kiafya. Nina muda nimejiunga hapa JF, ila sijawahi ku post chochote...
Pole sana mkuu najua unachopitia. Ajira ni ngumu siku hizi, fikiria pia kufanya kazi nje ya profession yako maana ajira hazitabiriki sometimes (flexibility inahitajika sana). Otherwise nikutakie heri na Mungu akusaidie
 
Back
Top Bottom