Natafuta Kazi nina Shahada ya Uzamili Katika Hisabati (MSc. in Mathematics)

Status
Not open for further replies.

yosh

Member
Dec 10, 2021
41
36
Habari Ndugu Zangu Wana JF,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ninayepatikana mkoa wa Dar es Salaam.

Nilihitimu masomo yangu katika ngazi ya Shahada ya uzamili katika Hisabati (Master's degree in Mathematics) katika chuo xx.

Nina uzoefu katika maeneo mbalimbali kama ifuatavyo:
i.) kufundisha Basic & Advanced Mathematics shule mbalimbali apa nchini.
ii.) Data Collection and Analysis (By using R).
iii.) Writing Scientific reports.

Pia nina ujuzi wa kutumia Latex na programming with python.

Mapendeleo:
i.) Napendelea kufanya kazi vyuoni & coleges kama Assistant Lecturer of Mathematics (Naweza kufundisha Course yoyote ya Hisabati).

ii.) Napenda kufanya kazi ya utafiti (Data Collection, Data Analysis and report writing).

iii.) Pia napendelea kufundisha Basic and Advanced Mathematics

Asanteni Sana.
 
Habari Ndugu Zangu Wana JF,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ninayepatikana mkoa wa Dar es salaam.

Nilihitimu masomo yangu katika ngazi ya Shahada ya uzamili katika Hisabati (Master's degree in Mathematics) katika chuo xx.

Nina uzoefu katika maeneo mbalimbali kama ifuatavyo:
i.) kufundisha Basic & Advanced Mathematics shule mbalimbali apa nchini.
ii.) Data Collection and Analysis (By using R).
iii.) Writing Scientific reports.

Pia nina ujuzi wa kutumia Latex na programming with python.

Mapendeleo:
i.) Napendelea kufanya kazi vyuoni & coleges kama Assistant Lecturer of Mathematics (Naweza kufundisha Course yoyote ya Hisabati)
ii.) Napenda kufanya kazi ya utafiti (Data Collection, Data Analysis and report writing).
iii.) Pia napendelea kufundisha Basic and Advanced Mathematics

Asanteni Sana.
Daaahhhh.... Ila bongo Nyosso sana aisee, yaani mtu una MSc Mathematics unatafuta kazi....!umesoma kitu adimu sana, its sad aisee kwamba unahaha kiasi hiki.
 
Mi najua mtu anavyoenda soma masters anakua tayari alishawahi fanya kazi company flan au katoka fresh from chuo kaunga master ila wakatii anafanya Master alikua nafanya kitu maana master sio kama undergraduate wanaosoma master wengi tayari wana michongo wanaenda ongeza elimu wapae zaid so wakati unasoma masters connection ulizotengeneza rudii kapigilie msumalii......kiukweli mi tokea nimeingia jamii forum sijawahi ona mtu wa master anaomba kazii sii undergraduate ndo tunahangaika humu
 
Mi najua mtu anavyoenda soma masters anakua tayari alishawahi fanya kazi company flan au katoka fresh from chuo kaunga master ila wakatii anafanya Master alikua nafanya kitu maana master sio kama undergraduate wanaosoma master wengi tayari wana michongo wanaenda ongeza elimu wapae zaid so wakati unasoma masters connection ulizotengeneza rudii kapigilie msumalii......kiukweli mi tokea nimeingia jamii forum sijawahi ona mtu wa master anaomba kazii sii undergraduate ndo tunahangaika humu
Hali imebadilika siku hizi, wengi wanamaliza Bachelor's degree , wanakaa mtaani wanaona hakuna cha maana wanaamua kutafuta chuo waongeze ujuzi kwa matumaini watapata kazi maana unavyozidi kwenda juu ya pyramid ndio wanavyozidi kupungua ila bado watu wenye Masters ni wengi na employment opportunities zipo limited sana.

Pia inawezekana aliacha kazi ili kujiendeleza kielimu, soko la ajira ni gumu sana sasa hivi ukitoka kurudi ni majaliwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom