Natafuta kazi nina miaka 35

Natafuta kazi nina miaka 35

Baraka sheni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
473
Reaction score
198
Habari wana jamii forum mimi ni mtu mzima mwenye familia. Naomba msaada wa kazi ya aina yoyote itakayo endana na umri wangu iwe ya kiwandani au sehem yoyote ile. nina uzoefu katika kazi ya kuuza duka.
Naishi dar ila kama kuna kazi mkoa wowote mi nipo tayari.
Naomba kwa mwenye nafasi hiyo ani PM.
 
KWANI WEWE SI MTOTO WA DOCTOR SHENI AU NIMEKUFANANISHA?
 
Inawezekana unahitaji kwel lakin miaka 35 unataka kukaa dukan kwa mtu aisee na nafamilia? Kwel au uatania bhana? Wale vijana dogo under 18 wanakaa kwa boss na wanalipwa chin ya elfu 60 we na unafamilia utawez kwel? Mi nadhan tafuta mkokoten tembeza maji mtaan utapata hela zaid na utafurahia maisha,,,kufanya kaz kwa MTU kwa umri huo duh
 
Habari wana jamii forum mimi ni mtu mzima mwenye familia. Naomba msaada wa kazi ya aina yoyote itakayo endana na umri wangu iwe ya kiwandani au sehem yoyote ile. nina uzoefu katika kazi ya kuuza duka.
Naishi dar ila kama kuna kazi mkoa wowote mi nipo tayari.
Naomba kwa mwenye nafasi hiyo ani PM.
Umeshawahi kutangaza una tafuta mke nadhan ni jana sasa leo unafamilia tayari unatafuta kazi,jamani huyu msimpe duka kazi ya dukani inahiytaji uaminifu hyu jamaa sio muaminifu ni muongo,ulisema una miaka 25 sasa 35 hupaswi kupewa duka utalifilisi nakulaza wake za watu kwenye majani!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf never lying na jf kuna kitufe cha "post" hakuna cha "delete " hahahaa kuumbuka vepee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa we post tu uongo tukuaibishe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sitaki kuumbuka asee Nina imani mtoa mada anatamani kungekua na sehemu ya kufutia maana sio kwa kuumbuka huku , siwapatii Picha walomfuata pm wakiona mungu kasikia kilio chao kawapatia mume wamtakaye[emoji2] [emoji2]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom