Natafuta kazi, nina Diploma ya Computer Science

Natafuta kazi, nina Diploma ya Computer Science

ester nyagawa

Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
9
Reaction score
5
Habari zenu wadau.naitwa Ester Nyagawa natafuta kazi.profession yangu ni IT.nina diploma ya COMPUTER SCIENCE IN ENGINEERING.Kwa yeyote atakaekuwa na taarifa kuhusu kazi naomba ani PM kwenye namb 0659965555.na nitatuma cv yang kupitia barua pepe kwa yeyote etakaehitaj niitume.asanteni.
 
Habari zenu wadau.naitwa Ester Nyagawa natafuta kazi.profession yangu ni IT.nina diploma ya COMPUTER SCIENCE IN ENGINEERING.Kwa yeyote atakaekuwa na taarifa kuhusu kazi naomba ani PM kwenye namb 0659965555.na nitatuma cv yang kupitia barua pepe kwa yeyote etakaehitaj niitume.asanteni.
Dada ester nyagawa, pamoja na shida za ajira nchini, si vizuri kuweka hadharani details zako zote humu. Halafu hiyo Computer Science in Engineering inanichanganya kidogo, naona watu wameanza kuwa wabunifu wa programme names!
 
kabla ya yote dada ester,embu tunaomba utuondolee mkanganyiko.ni yapi majukumu yanayo mtofautisha IT expert na Computer Engineer.mana wengine huku mtaani tunaona ni kama mnafanya kazi sawa.ku update ant virus,ku format computer,ku install programmes, nk.

ila kwa kweli huku kitaa mliyosomea hayo mambo mko wengi sana.huo ni ukweli najua hata wewe mwenyewe unaufahamu.jaribu kutafakari kujiajiri au kubuni mradi.nakuonea huruma dada yangu.
 
utofauti upo zaid katika utendaji dada yangu,sipingani na wewe kwamba mtaani wapo wengi lakini kikubwa tu ni kwamba ni kitu ambacho nimekisomea na nina uwezo wa kukifanyia kaz.Pia nashkuru kwa kunipa angalizo kuhusiana na taarifa zangu muhimu nilozituma natumaini haitajirudia tena.
kuhusu kujiajiri nataman ningefanya hivyo lakini hali ya kipato changu sio nzur kwa sababu sina any source of income.asante.
 
utofauti upo zaid katika utendaji dada yangu,sipingani na wewe kwamba mtaani wapo wengi lakini kikubwa tu ni kwamba ni kitu ambacho nimekisomea na nina uwezo wa kukifanyia kaz.Pia nashkuru kwa kunipa angalizo kuhusiana na taarifa zangu muhimu nilozituma natumaini haitajirudia tena.
kuhusu kujiajiri nataman ningefanya hivyo lakini hali ya kipato changu sio nzur kwa sababu sina any source of income.asante.
 
utofauti upo zaid katika utendaji dada yangu

.

mrembo ester kama ulikuwa una ni address mimi,naomba ufahamu mimi ni kaka yako.sio dada.tazama vizuri avatar yangu or go through my jf profile for more info.tahadhari usije ukakwazana na watu,kumbuka upo hapa kuomba msaada wa ajira ili usaidiwe.
 
Dada ester nyagawa, pamoja na shida za ajira nchini, si vizuri kuweka hadharani details zako zote humu. Halafu hiyo Computer Science in Engineering inanichanganya kidogo, naona watu wameanza kuwa wabunifu wa programme names!

we mpumbavu kweli.. sasa asipoweka full details zake humu watu watamsaidiaje?
au kuna madhara gani ya kuweka details zake humu kama anataka msaada!?
next time fikira kwanza kabla ya kupost pumba.. ------ yako
 
mrembo ester kama ulikuwa una ni address mimi,naomba ufahamu mimi ni kaka yako.sio dada.tazama vizuri avatar yangu or go through my jf profile for more info.tahadhari usije ukakwazana na watu,kumbuka upo hapa kuomba msaada wa ajira ili usaidiwe.

tatizo na wewe unatumia jina la kike
 
upo tayari kwenda mikoani kupiga kazi? maana ninyi vijana mmeisha zoea kukaa darisalama tu.
okay, ni pm cv yako
 
nani kawadanganya computer science wapo wengi mtaani ,acheni kutafuta sababu za kushusha hadhi fani za watu ili muanze kuwalipa mnavyotaka, ili taifa maskini kama hili liweze kuendelea watu wenye mawazo ya kurudi nyuma wanatakiwa wafungiwe shamba la taifa wakalime, waipishe technologia.
 
Back
Top Bottom