Natafuta kazi, nina BBA

Natafuta kazi, nina BBA

jembepori

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
618
Reaction score
194
Wadau natafuta kazi, nimesoma Business Administration Bachelor nina miaka 30 na nipo Dar, Nimekuwa najitolea kwenye mashirika na baadhi ya taasisi za Serika Tangu 2009 nili opt Hr ila nsweza run project.

mail- mangaukawa@gmail.com
Nawasilisha
 
una BBA, sawa...una ndugu/rafiki kwenye ofisi za ajira kubwa kubwa??
 
kujitolea toka 2009??

yaani miaka sita unajitolea??

nahisi kuna information hujazikamilisha kwenye maelezo yako
 
Back
Top Bottom