Mimi ni kijana kutoka wilaya ya Magu nimemaliza masomo yangu katika ngazi ya cheti fani ya mipango na maendeleo vijijini. Ninaomba mdaa wa kupata kazi inayoendana na fani yangu kwa mikoa ya Mwanza na shinyanga
mimi ni kijana kutoka wilaya ya Magu nimemaliza masomo yangu katika ngazi ya cheti fani ya mipango na maendeleo vijijini. Ninaomba mdaa wa kupata kazi inayoendana na fani yangu kwa mikoa ya Mwanza na shinyanga