Habari,
Mimi ni binti mwenye miaka 24 nimemaliza chuo mwaka huu course ya sheria nina uhitaji wa kazi yoyote hali ya kuniingizia kipato hata iliyo nje ya field yangu.
Kila la kheriPesa ya law school ni ndefu haipo ndo maana tunahangaika tupate pa kujishikiza
MUNGU AKUTANGULIEPesa ya law school ni ndefu haipo ndo maana tunahangaika tupate pa kujishikiza