Natafuta kazi, nimesoma Electronics and Telecom Engineering


big up..kila post/reply kumi; Moja ingekuwa ya maana na nzito kama hii; jf ingekuwa moto wa kuotea mbali. hongera naamini kuna baadhi umewafungulia njia.
 
Pole sana mkuu! Vumilia utapata kazi.
Kuna wakati nilidhani mtu aliyesoma electronics anaweza akajiajiri akiwa na laptop tu kwa kuanzia. Nadhani sikuwa sahihi.

Mkuu hiyo inawezekana,na upo sahihi tu.Nataka kujiajiri na kuajiriwa.badae ndo nitachagua sehemu moja.
 
big up..kila post/reply kumi; Moja ingekuwa ya maana na nzito kama hii; jf ingekuwa moto wa kuotea mbali. hongera naamini kuna baadhi umewafungulia njia.

Asante mkuu
 

Mkuu wewe ni noma sana,hii idea nitaipa uzito wa kipekee.
 
Good advice:
kuna kazi nyingi sana mtaani
1.akuna mafundi wengi wa LCD/LED TVs hii pia ni fulsa
2.Smart phone repair/software/apps installation
3.Unaweza pata sub contarcts toka makampuni ya simu for BTS,Genset maintenance


mkuu nakukubali sana
 

Hili nimeshalifanyia kazi mkuu,mwakani naanza mpango huu.
 

Hawa jamaa nilichek nao ila wanahtj cheap labour.nashukuru kwa ushauri nitazidi kuufanyia kazi.
 

wazo lako ni zuri na limezidi kunijenga mkuu.
 
Pole sana ila ni kuvumilia huku unajishirikisha katika shughuli ndogo ndogo za kuongeza kipato,kwani mkuu umemaliza mwaka gani?

Asante mkuu,nimemaliza 2013.mimi ninachokiona ni mikosi ila wadau wengi wanapata kazi.
 
Ushauri ulio makini kabisa. Tusitegemee kuajiliwa tu, tubuni na njia zetu wenyewe za kujipatia pesa.

kwa uhakika huyo Bro katoa ushauri mzuri sana.
Wasiwasi wangu ni kuwa je anayeshauliwa ataelewa? Tulioko kwenye ajira moja kwa moja tutamuelewa kwani tunaona hali ilivyo ngum sana.
Wanachuo wengi waliomaliza na walioko chuo wame/wanaandaliwa kuajiliwa na sivinginevyo. Kwahiyo msomi anapofika uraiani akakuta hali ni tete akili yake haimpi kujiajili kwani hana confidence na upande huo. Kaandaliwa akimaliza anakuwa bosi.
Hii ndio shida
 
Asante mkuu,nimemaliza 2013.mimi ninachokiona ni mikosi ila wadau wengi wanapata kazi.
Hapana mkuu usiseme mikosi endelea kupigana kwa 2013 sasa hv sio muda wa kugiveup kuna program ya ERB inaitwa SEAP nafikiri ungeomba hiyo kwanza huwa wanatoa hela ya nauli kidogo ila ukipelekwa office serious wanakuongezea hiyo itakulahisishia kutafuta kazi bila stress sana....maana kazi ukitafuta na stress kuipata inakuwa shughuli mkuu.......kwani si umemaliza bachelor na ni chuo gani?
 

Good advice, xie xie (thank you)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…