Huyo model Yuko wapi now?Habari zenu wakuu..
Mm ni videographer na photographer pia ni graphics designer..
Nauzoefu wa kazi hizo kwa mwaka Sasa.. na ninafanya kazi zangu( hizo apo CHINI) ila Sina vifaa vya production.
Nimeona ili nifanye kazi kwa umakini na uweledi wa hali ya juu.. NI vzur nitafute kazi kwny taasisi au kampuni yoyote ya video production.
Maana nitakapokuwa kwny kampuni yenye vifaa Kaz yangu itakuwa moja tu.. ni kufanya Kaz kwa ubunifu wa Hali ya juu Zaid...
Baadhi ya kaz zanguView attachment 1635984View attachment 1635986View attachment 1635987
Nime ku PM mkuu kuhusuiana na huyo mdada pichani nifanyie connection ntakupa 5000
Na we uje tusexyWe ndege john wewe mbona unatabia kama za faru John?
Na we uje tusexy
Nime ku PM mkuu nikiomba namba yako tukayajenge WhatsAppMie i am too sexy to sex
Ni pm no yako chief tuongee jamboHabari zenu wakuu..
Mm ni videographer na photographer pia ni graphics designer..
Nauzoefu wa kazi hizo kwa mwaka Sasa.. na ninafanya kazi zangu( hizo apo CHINI) ila Sina vifaa vya production.
Nimeona ili nifanye kazi kwa umakini na uweledi wa hali ya juu.. NI vzur nitafute kazi kwny taasisi au kampuni yoyote ya video production.
Maana nitakapokuwa kwny kampuni yenye vifaa Kaz yangu itakuwa moja tu.. ni kufanya Kaz kwa ubunifu wa Hali ya juu Zaid...
Baadhi ya kaz zanguView attachment 1635984View attachment 1635986View attachment 1635987
Nilitaka niwape kazi wewe na yeyeashakufa