cantona55
Member
- Apr 4, 2020
- 24
- 26
Habari zenu wakuu..
Mm ni videographer na photographer pia ni graphics designer..
Nauzoefu wa kazi hizo kwa mwaka Sasa.. na ninafanya kazi zangu( hizo apo CHINI) ila Sina vifaa vya production.
Nimeona ili nifanye kazi kwa umakini na uweledi wa hali ya juu.. NI vzur nitafute kazi kwny taasisi au kampuni yoyote ya video production.
Maana nitakapokuwa kwny kampuni yenye vifaa Kaz yangu itakuwa moja tu.. ni kufanya Kaz kwa ubunifu wa Hali ya juu Zaid...
Baadhi ya kaz zangu
Mm ni videographer na photographer pia ni graphics designer..
Nauzoefu wa kazi hizo kwa mwaka Sasa.. na ninafanya kazi zangu( hizo apo CHINI) ila Sina vifaa vya production.
Nimeona ili nifanye kazi kwa umakini na uweledi wa hali ya juu.. NI vzur nitafute kazi kwny taasisi au kampuni yoyote ya video production.
Maana nitakapokuwa kwny kampuni yenye vifaa Kaz yangu itakuwa moja tu.. ni kufanya Kaz kwa ubunifu wa Hali ya juu Zaid...
Baadhi ya kaz zangu