hassanjrtz
Member
- Apr 10, 2023
- 30
- 21
Habari wana Jf, mimi ni fundi wa kuchomelea (arc ray welding) pia nina uwezo wa kutumia mashine mbali mbali kama za MIG na TIG.
Natafuta kazi ya kuchomelea hasa viwandani na migodini maana ndiyo sehemu ambazo nina uzoefu nazo kwa muda mrefu sasa. Kwa mawasiliano zaidi 0688607000.
Natafuta kazi ya kuchomelea hasa viwandani na migodini maana ndiyo sehemu ambazo nina uzoefu nazo kwa muda mrefu sasa. Kwa mawasiliano zaidi 0688607000.