Matangazo kama haya ya kutafuta kazi ni muhimu na lazima ueleze level ya elimu yako...ni certificate au diploma au degree?? Sasa ukisema tu lab technician nani atajua kiwango chako cha elimu?
Tatizo vijana wa siku hizi sijui wanasoma nini huko mashuleni. Hata kuandika job application letter hawawezi. Huko kazini mtaweza kufanya kazi kweli?? Nyota njema huonekana asubuhi.
Tatizo vijana wa siku hizi sijui wanasoma nini huko mashuleni. Hata kuandika job application letter hawawezi. Huko kazini mtaweza kufanya kazi kweli?? Nyota njema huonekana asubuhi.
Matangazo kama haya ya kutafuta kazi ni muhimu na lazima ueleze level ya elimu yako...ni certificate au diploma au degree?? Sasa ukisema tu lab technician nani atajua kiwango chako cha elimu?